iqna

IQNA

masjid an nabawi
Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Msururu wa kozi za mafunzo zimefanyika hivi karibuni ili kuwafundisha wanawake 1,352 wanaojitolea kuwasaidia waumini wanaoelekea kwenye Msikiti wa Mtume yaani Al-Masjid an-Nabawi, eneo la pili kwa utakatifu katika Uislamu, katika mji wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478473    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Makka na Madina
TEHRAN (IQNA) - Mnamo usiku wa 27 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaoaminika kuwa Usiku wa Qadr, mamilioni ya waumini walijaa Msikiti Mkuu ya Makka (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume SAW (Masjid An Nabawi) huko Madina.
Habari ID: 3476885    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

TEHRAN (IQNA) – Mvua kubwa na za ghafla zimeruhusiwa katika msikiti wa Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume SAW) katika mji wa Madina, Saudi Arabia, Jumapili jioni.
Habari ID: 3473030    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa misikiti miwili mitukufu zaidi katika Uislamu ni ya Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3471596    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/16